Tunda Ajianika na Njemba Mpya Baada Ya Tetesi Kutemana na Casto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Video vixen maarufu Bongo Tunda Sebastian ameingia Kwenye headlines baada ya kupotea picha ya mwanaume Kwenye mitandao ya kijamii baada ya Tetesi za kuachana na Mtangazaji wa Clouds Tv, Casto Dickson.

Tunda na Casto walikuwa Kwenye Mahusiano kwa Miezi michache sasa lakini wiki iliyopita kuna taarifa zilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii kuwa wawili hao hawapo Tena.

Global Publishers waliripoti kuwa Tunda kamtosa kabisa Casto taarifa ambazo Casto alizikataa na kudai wapo wote bado lakini alipotafutwa Tunda aliweka wazi kuwa yupo single.

Tunda ameendelea kuchochea tetesi hizo baada ya kuposti screenshot ya FaceTime call yake na mwanaume mwingine ambaye hajatambulika bado mpaka hivi sasa.

Kupitia ukurasa wake wa Snapchat Tunda aliweka picha hii ambayo inasambaa Kwenye mitandao ya kijamii na kuwafikirisha watu kuwa huenda Tunda amemtosa Casto na kuweka kambi kwa jamaa huyu:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad