AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jean-Pierre Bemba aliondolewa kwenye orodha ya wagombea nafasi ya uraisi baada ya kukosekana ushahidi wa kutosha na mahakama kukosa imani na upande wa ushahidi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai.
Baada ya kufanyika vikao vya ndani, chama hicho cha MCL kimetangaza rasmi kuwa kitatangaza baadaye tarehe rasmi ya maandamano hayo , kufuatia uamuzi wa mahakama ya katiba kuondoa jina la mgombea nafasi ya uraisi Jean-Pierre Bemba katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo.
Kwa muujibu wa chama cha MCL kimeyachukulia maamuzi ya mahakama hiyo ya katiba kama ya hovyo na yanayoweza kuiingiza nchi hiyo katika machafuko.
Katika taarifa ya chama cha Bemba, kimekitupia mzigo wa lawama tume ya uchaguzi pamoja na mahakama nchini humo kwa kuwa imejaa siasa jambo ambalo serikali imelipinga kwa nguvu zote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK