AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika ukrasa wake wa instagram zitto Kabwe ameandika maneno makari na kumpa siku moja Musiba na genge lake kuthibitisha au kukanusha Habari yake ambayo wameitoa leo la sivyo akienda kinyume na hilo asilaumiwe.
"Deo alikuwa zaidi ya rafiki yangu. Kwangu mimi hajafa. Uzushi wa Gazeti la Tanzanite, kama ulilenga kuniumiza, wamefanikiwa sana. Ni tangazo la vita. Bahati mbaya sana hata mtu anayeamini chembe ya uzushi ule namwona adui ( mniwie radhi ). Cyprian Musiba na yeyote mwenye kuhusika na Gazeti la Tanzanite wanapaswa kupata funzo ambalo hawatasahau maishani. Sisi kwenye Siasa tunaweza kuvumilia mengi. Mimi kama Zitto nina kikomo cha uvumilivu. Ndugu wa Musiba na genge lake wasinilaumu kitakachompata ndugu yao. Ana siku moja tu kuthibitisha au kukanusha Habari yake ya leo. Baada ya kesho sitasikia rai ya Mtu yeyote. Inshallah Mwenyezi Mungu aendelee kunipa subra na hekima"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK