Breaking: Meneja wa Simba Afungiwa Mwaka Mmoja Kujihusisha na Soka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Meneja wa Simba afungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka
Meneja wa Simba SC, Robert Richard amefungiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa muda wa mwaka mmoja kujihusisha na masuala ya soka huku adhabu hiyo ikiambatana na faini ya shilingi za Kitanzania, milioni 4.

Adhabu hiyo imetolewa kutokana na kosa la kuihujumu timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'.

Taarifa zaidi utaipata kupitia blog hii, endelea kuwa nasi...

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad