Alhaji Mzee Yusuf Afiwa na Mama Yake Mzazi.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muimbaji wa zamani wa muziki wa Taarabu, Alhaji Mzee Yusuf usiku wa kuamkia leo amefiwa na mama yake mzazi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mzee Yusuf amethibitisha taarifa hizo kwa kuandika “Qalu inna lillah wa inna ilayh rajiunna. Mama yangu mzazi hatunae mda huu Allah anijaalie nguvu za kusimama na kufika znz asubuhi. Amiin usiku huu utakua mrefu sana leo lkn tuseme tena inna lillah wa inna ilayh rajiunna. Allah ampe qauli thabit mama yangu kipenzi. Amiin.“.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad