Askari Watatu Mkoani Kigoma Wauawa Kwa Kupigwa na Silaha za Jadi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi watatu akiwamo Mkuu wa Kituo cha Polisi Nguruka-Uvinza, Ramadhan Mdimi wameuawa kwa silaha za jadi ikiwamo mishale pembezoni mwa mpaka wa kijiji cha Mpeta

Askari walifika katika eneo la Ilunde lenye mgogoro wa ardhi kuwaondoa wananchi walioanzisha makazi na kufanya shughuli za kilimo na ufugaji bila kufuata sheria na taratibu za ardhi tangu mwaka 2004

Wananchi walichukizwa na kitendo cha Polisi kuwapora mazao huku wakichoma moto baadhi ya nyumba wakati wa operesheni ya kuwaondoa katika eneo hilo, iliyofanyika Alhamisi

Mgogoro wa ardhi katika eneo hilo umetokana na kubadilishwa matumizi kutoka ardhi ya kawaida ili iwe ranchi ya uwekezaji hivyo raia wanahisi hawatendewi haki

Aidha, raia wanahoji kwa nini igeuzwe ranchi wakati wanatozwa fedha za michango ya maendeleo ya jamii na wanapiga kura kuwachagua viongozi na kama shida ni mwekezaji, wako tayari walipe gharama ili waachwe waendelee na shughuli zao
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad