AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baraza hilo lenye wanachama 15 pia imeonya kuenea kwa Ebola kwa nchi za jirani na kuifanya kuwa vigumu zaidi kudhibiti.
Ugonjwa huo umeua watu zaidi ya mia moja tangu Agosti 1.
Mapigano makali kati ya makundi yaliyojihami katika mji wa Beni Mashariki mwa nchi yamewalynga pia wahudumu wa afya wa Umoja wa Mataifa na kupunguza kasi ya vita kuzuia kuenea kwa Ebola nchini DRC.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dr Tedros Adhanom ameiambia BBC kwamba wanachama wa baraza hilo wataelekea DRC Ijumaa ili kutathmini matatizo ambayo wahudumu wa Umoja wa Mataifa wanakabiliwa nayo katika kutoa msaada katika maeneo yaliyoathirika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK