Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuingia DRC kukabiliana na Ebola

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuingia DRC kukabiliana na Ebola
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linafanya ziara ya dharura kuelekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia mapigano makali nchini humo ambayo yametatiza jitihada za kudhibiti kuzuka kwa virusi vya Ebola.

Baraza hilo lenye wanachama 15 pia imeonya kuenea kwa Ebola kwa nchi za jirani na kuifanya kuwa vigumu zaidi kudhibiti.

Ugonjwa huo umeua watu zaidi ya mia moja tangu Agosti 1.

Mapigano makali kati ya makundi yaliyojihami katika mji wa Beni Mashariki mwa nchi yamewalynga pia wahudumu wa afya wa Umoja wa Mataifa na kupunguza kasi ya vita kuzuia kuenea kwa Ebola nchini DRC.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dr Tedros Adhanom ameiambia BBC kwamba wanachama wa baraza hilo wataelekea DRC Ijumaa ili kutathmini matatizo ambayo wahudumu wa Umoja wa Mataifa wanakabiliwa nayo katika kutoa msaada katika maeneo yaliyoathirika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad