AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye Birthday yake ilikuwa hapo jana, October 02, 2018 amepanga siku ya Ijumaa wiki hii kufanya tukio la kutoa misaada Tandale ambako ndipo amezaliwa.
"Jambo la kwanza kabisa ni kuzungumza na vijana wenzangu wa Tandale na kuwapa maneno fulani ya kuwaongezea moyo. Siku hiyo nitatoa bima ya afya kwa watoto sio chini ya 300," amesema.
"Vile vile tutakuwa tunatoa mitaji kwa wamama wasiopungua 200 wa pale Tandale kwa hiyo birthday yangu nitakuwa naisherekea hivyo," Diamond ameiambia Wasafi TV.
Pia Diamond ameongeza kuwa atatoa bodaboda 20 kwa vijana ambao hawana ajira pamoja na kukarabati baadhi ya shule hapo Tandale
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK