AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio la kuuawa kwa binti huyo limetokea jana Oktoba 2, 2018 majira ya saa mbili usiku wakati Sabra alipokua akiuza duka nyumbani kwao na ghafla alitokea kijana huyo anayesadikiwa kuwa mgonjwa wa akili Hafidh Mkubwa Suleiman (21) na kumchoma na kitu tumboni.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Thobias Sedeyoka amesema ni kweli tukio hilo limetokea na wanaendelea na uchunguzi kubaini taarifa zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK