Godless Lema Aitikia Wito wa Jeshi la Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Godless Lema Aitikia Wito wa Jeshi la Polisi
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema leo Jumatatu October 22, ameripoti makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Arusha kama alivyotakiwa kufanya hivyo jana.

Lema amewasili polisi saa 4:55 asubuhi akiwa katika gari aina ya Benzi  na kuegesha gari hilo ndani ya eneo la polisi lakini akatakiwa kuliondoa na kuliegesha nje.

Baada ya kushuka, aliingia polisi akiongozana na Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure, mkewe, Neema na ofisa habari wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Muzeki Joseph.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad