Hans Poppe Kufikishwa Mahakamani leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hans Poppe Kufikishwa Mahakamani leo
Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Zacharia Hans Poppe atafikishwa mahakamani leo kujibu kesi inayomkabili ya kugushi nyaraka na utakatishaji wa fedha.


Hans Poppe amerejea nchini na kujisalimisha kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.


Hans Poppe ataunganishwa kwenye kesi ya kugushi nyaraka na utakatishaji inayowakabiri Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.

Ndugu yake wa karibu amesema Hans Poppe aliamua kurejea baada ya matibabu.


"Amerejea akijua atakamatwa, ukisema amejisalimisha kwa lengo la kuona kesi inasikilizwa kwa kuwa anaamini hana tatizo," alisema ndugu yake wa karibu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad