AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Manara alishikiliwa akihojiwa siku moja tu baada ya kutekwa kwa mwanachama maarufu wa Simba, Mohamed Dewji.
Dewji maarufu kama Mo, alitekwa na watu wasiojulikana wakielezwa ni raia wa kigeni akiwa anaingia gym, alfajiri ya Alhamisi iliyopita.
Baada ya hapo, Jeshi la Polisi lilianza uchunguzi wa kina na Manara alikuwa kati ya watu waliochukuliwa kuhojiwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK