Breaking: Haji Manara Aachiwa kwa Dhamana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Breaking: Haji Manara Aachiwa kwa Dhamana
Msemaji wa Simba, Haji Manara ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa takribani wiki moja.

Manara alishikiliwa akihojiwa siku moja tu baada ya kutekwa kwa mwanachama maarufu wa Simba, Mohamed Dewji.

Dewji maarufu kama Mo, alitekwa na watu wasiojulikana wakielezwa ni raia wa kigeni akiwa anaingia gym, alfajiri ya Alhamisi iliyopita.

Baada ya hapo, Jeshi la Polisi lilianza uchunguzi wa kina na Manara alikuwa kati ya watu waliochukuliwa kuhojiwa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad