AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Mechi yetu na Stand ni muhimu kuliko hata zile tulizocheza tangu ligi ianze.
Yaani tunahitaji ushindi na furaha, siku zote huwa inakuja tunapopata ushindi hivyo natarajia ushindi mkubwa mechi hiyo,”alisisitiza Kichuya ambaye anaonekana kupania sana ili kuweka hali ya mambo sawa ndani ya Simba.
“Nimekuwa na uhaba wa magoli msimu huu ila karamu ya kufunga naianzia kwa Stand United ili kurejesha ubora wangu wa siku zote na kuwaonyesha mashabiki wa Simba kuwa bado nipo vizuri katika kufumania nyavu kama ilivyokuwa msimu uliopita,”alisema Kichuya ambaye ni mwenyeji wa Morogoro.
Msimu uliopita Kichuya alifunga mabao saba na asisti za kumwaga zilizoipa Simba ubingwa. Msimu huu amefunga bao moja katika michezo yote aliyocheza mpaka sasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK