AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maimartha anasema kuwa alipokuwa na Daimond watu walikuwa wakisema sana na kufikiaka hatua ya kumtukana na kumkosoa sana lakini sasa hivi kila mmoja amekuwa akiomba wawili hao kurudiana, hivyo kama wema atasikiliza maneno ya mashabiki basi hatoweza kufanikisha hata ndoa anayoitegemea.
Lakini pia Maiamartha amemwambia Wema kuwa kama anatka kufanukisha kila jambo basi asiwasikilize watu wanasema nini .
Maimartha amemwaidi Wema kuwa kama atafunga ndoa na mwanaume huyo basi yeye atakuwa MC bure katika harusi yake na atatoa muziki wake bure kama zawadi yake kwa harusi yao.Maimartha aliandika
wema huyo bwanako mpya nimekumbuka zamnani wakati unaanza kutoka na diamond, kila mtu alikuwa anakusema na kukudhalisha mara bwana gani huyu, mara hoo mara vile …lakini sasa hivi kila mtu anataka urudiane nae…na sasa hivi kwa bawana huyu mpya yanarudi yale yake lakini Nassib alijiongeza sana maana nasibu ni kichwa…naomba utafute wasaa wa kutafakari kama wewe unampena je yeye anakupenda.. na kama anakuenda basi mfunge ndoa ,,tucheze ngoma tumpe raha mama sepetu….mc mimi nitatoa muziki wangu bure ul mkubwa wa Milion 4,nitashika mike bur siku ya sendoff na kitchen part yako…wewe ni bonge la demu, mzuri na una rohoo ya kipekee…hata wakwe na mawifi hawatajutia…vinginevyo usije ukatuletea kasheshe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK