AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dewji leo kupitia ukurasa wake wa twitter ameandika ujumbe wa kuwashukuru watu wote waliofanikiwa kumuombea apatikane salama.
“Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuokoa maisha yangu. Pamoja na kupitia kipindi kigumu lakini daima amesimama upande wangu. Marafiki zangu, napenda kuwashukuru wote kwa maombi yenu na kunitakia kheri. Mungu awazidishie kwa wema wenu. Baraka za Mungu ziwe nanyi leo na daima”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Mohammed Dewji alitekwa alfajiri ya Alhamisi ya October 11 2018 akiwa Colosseum kwa ajili ya mazoezi ya utimamu wa mwili (Gym)
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK