Barakah The Prince Ajimaliza kwa Najma “Nimeshakuwa na Wanawake Wengi Lakini Kwako Nimefika”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Barakah The Prince Ajimaliza kwa Najma “Nimeshakuwa na Wanawake Wengi Lakini Kwako Nimefika”
Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini Barakah The Prince amefunguka maneno mazito kwa Mpenzi Wake Najma Dattan ‘Naj’ alipokuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa.

Barakah na Naj walirudiana hivi karibuni Baada ya kuachana kwa muda mrefu Baada ya skendo za Barakah kuchepuka na wanawake kadhaa ikiwemo kudaiwa kumpa ujauzito mwanamke mwingine.

Barakah ameibuka na kumuandikia maneno mazito mpenzi wake Naj alipokuwa anasheherekea siku yake kuzaliwa ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram Barakah ameandika:


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad