Hamisa Mobetto Aringa na Penzi Jipya....Abebwa na Kupetiwa Kama Mtoto Hadharani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanadada Hamisa mobeto ambae hivi karibuni alitangza kwa picha kuwa kwa sasa amepata mwanaume mwingine, ameanza kulinga na kulingishia katika mitandao ya kijamii kuhusu mahusiano yake hayo mapya bila kujali watu watasema nini.

Wiki iliyopita katika ukurasa wake wa snapchat aliweka picha ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu na kuweka emoji za mapezi na picha hiyo kusambaa sana katika mitandao ya kijamii.

Leo tena mwanadada huyo ameweka picha nyingine akiwa amebebwa na mwanaume kifuani kwake huku akindika kuwa kwa sasa hivi anadekezwa na wala sio kugombezwa.

Hamisa aliwahi kuwa katika mapenzi ya siri  ya msnii diamond platinumz, mapenzi amayo hata baada ya kujulikana yalimletea matatizo na kumfanya kupata misuko suko huku tayari akiwa na mtoto wa msanii huyo.

Hamisa aliwah kukiri hivi karibuni kuwa kuachana na Diamond kummfanya kuwa huru na kupata mafanikio Pia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad