Lulu Diva 'Nisingejiongeza Ningekuwa Malaya Najiuza'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwa sasa ambaye pia ni muigizaji, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa kama asingetumua akili ya kuamua kujituma kwenye muziki, angeweza kujiingiza kwenye biashara ya kujiuza.

Akizungumza na Amani, Lulu Diva alisema endapo asingejiongeza, halafu akakumbana na hali hii ngumu ya sasa kwa wasiokuwa na kazi, lazima angeshawishika kufanya biashara hiyo haramu.

 “Niliwahi kufanya kazi kwenye mgahawa pale Mlimani City, nikaacha ili nipambane kwa kuwa nilikuwa nalipwa kidogo hivyo nisingetumia akili hata ya kufikiria kuimba ningeweza hata kujiuza katika hali ya sasa,” alisema Lulu ambaye mbali na muziki pia anaigiza na amefanya vyema kwenye filamu ya Nikabu ya Mussa Kitale ‘Mkude Simba’.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad