AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwa sasa ambaye pia ni muigizaji, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa kama asingetumua akili ya kuamua kujituma kwenye muziki, angeweza kujiingiza kwenye biashara ya kujiuza.
Akizungumza na Amani, Lulu Diva alisema endapo asingejiongeza, halafu akakumbana na hali hii ngumu ya sasa kwa wasiokuwa na kazi, lazima angeshawishika kufanya biashara hiyo haramu.
“Niliwahi kufanya kazi kwenye mgahawa pale Mlimani City, nikaacha ili nipambane kwa kuwa nilikuwa nalipwa kidogo hivyo nisingetumia akili hata ya kufikiria kuimba ningeweza hata kujiuza katika hali ya sasa,” alisema Lulu ambaye mbali na muziki pia anaigiza na amefanya vyema kwenye filamu ya Nikabu ya Mussa Kitale ‘Mkude Simba’.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK