AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Okwi kwa sasa ana mabao 7 kwenye ligi akiwa nafasi ya pili mbele ya Eliud Ambokile mwenye mabao 8 huku Kagere akiwa na mabao matano.
"Nimefurahi kuona Okwi anaendelea kufunga kwani sisi wote ni washambuliaji wa Simba, tuna jukumu moja la kuisaidia timu ifanye vyema hivyo yeye akifunga na mimi nitafunga ni jambo jema ambapo inatusaidia sisi kutwaa ubingwa msimu huu, mimi sina shida," alisema.
Simba inashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wakiwa na pointi 23 Yanga baada ya kushinda mchezo wao dhidi ya Lipuli FC, wamefikisha pointi 25 huku vinara wakiwa ni Azam FC wenye pointi 27.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK