Kanye West Abadilisha Muonekano Wake, Sababu Kubwa Mbili Zapelekea Afanye Maamuzi Hayo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ikiwa ni siku mbili zimepita tangu familia ya rapper Kanye West kunusurika kwenye janga la moto Mjini California nchini Marekani, mkali huyo wa hip hop ameamua kubadilisha rangi yta nywele zake.


Kanye West
Kanye West ame-bleach nywele zake kwa kuweka rangi nyekundu, hii sio tu kwa sababu ya janga hilo la moto bali pia yupo location ku-shoot video yake mpya na rapper Tekashi69 na Nicki Minaj.



Juzi Ijumaa moto mkubwa ulizuka mjini Los Angeles na kuteketeza nyumba zaidi 19, ambapo awali taarifa zilieleza kuwa moja ya nyumba iliyoteketea ni ya Kanye West, lakini baadae Kim Kardashian alikuja kukanusha na kutaka watu walioguswa na tukio hilo kuwachangia waliopatwa na janga hilo.

Grateful for the heroic @CAFirefighters battling the #CampFire #HillFire and #WoolseyFire and getting people to safety. Join me and my family in donating to the @CAfirefound to support our heroes and their families. Go to https://t.co/R67fNxEVOg

— Kim Kardashian West (@KimKardashian) November 10, 2018
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad