Kocha Yanga Ampa Adhabu Hii Ajibu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha Yanga Ampa Adhabu Hii Ajibu
Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema licha ya kutompa namba, Ibrahim Ajibu kwenye mchezo wao jana na Mwadui FC, kazi yake kubwa itakuwa ni kufanya mazoezi muda mrefu.

Zahera amesema wachezaji ambao walicheza jana watafanya mazoezi mepesi na kupumzika, wale ambao hawakucheza kabisa watafanya mazoezi magumu.

"Baada ya kurejea Congo nilipewa ripoti iliyoonyesha Ajibu hakufanya mazoezi muda mrefu, hivyo ilimaanisha hakuwa tayari kucheza, kuelekea mchezo wetu ujao nimewapa mazoezi magumu kwa muda wa saa moja na nusu ili wawe fiti.

"Mchezaji Gadiel Michael atarejea Dar es Salaam ili apate matibabu, anasumbuliwa na maumivu ya nyama kwenye goti, pia wale waliotusaidia tupande ndege nawashukuru," alisema.

Ushindi huo unaifanya Yanga izidi kuendeleza rekodi zake za kutopoteza kwani katika michezo 11 waliyocheza  wameshinda 9 na kutoa sare michezo 2 wakiwa na pointi 29.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad