AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zahera amesema wachezaji ambao walicheza jana watafanya mazoezi mepesi na kupumzika, wale ambao hawakucheza kabisa watafanya mazoezi magumu.
"Baada ya kurejea Congo nilipewa ripoti iliyoonyesha Ajibu hakufanya mazoezi muda mrefu, hivyo ilimaanisha hakuwa tayari kucheza, kuelekea mchezo wetu ujao nimewapa mazoezi magumu kwa muda wa saa moja na nusu ili wawe fiti.
"Mchezaji Gadiel Michael atarejea Dar es Salaam ili apate matibabu, anasumbuliwa na maumivu ya nyama kwenye goti, pia wale waliotusaidia tupande ndege nawashukuru," alisema.
Ushindi huo unaifanya Yanga izidi kuendeleza rekodi zake za kutopoteza kwani katika michezo 11 waliyocheza wameshinda 9 na kutoa sare michezo 2 wakiwa na pointi 29.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK