AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Straika mwenye balaa la aina yake anayekipiga katika timu ya Difaa El Jadidi ya Morocco, Mtanzania Simon Msuva, amesema malengo yake ni kucheza pamoja na Sadio Mane huko Liverpool.
Akizungumza na Radio EFM kupitia kipindi cha E Sports jana jioni, Msuva ameeleza ndoto zake ni hizo kutokana na namna anavyovutiwa mchezaji huyo kutoka Sengal.
Msuva amefunguka kuwa hata kalba hajafika huko Morocco aliwahi kuweka picha yake mtandaoni aliyoiunganisha akiwa na Mane kama mchezaji anayemkubali kwenye maisha ya soka.
"Ninachoamini katika maisha kuna ndoto, naimani ipo siku itaweza kucheza sambamba na Sadio Mane kwakuwa ni mchezaji ambaye ninamkubali.
"Si kucheza naye tu, bali pia natamani kuichezea klabu ambayo Mane anacheza nikimaanisha Liverpoo, Mungu yupo na nina imani nitafika" alisema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK