Rais Magufuli: Mimi Sio Mkorofi, Ninyi Ndo Wakorofi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Rais Magufuli: Mimi Sio Mkorofi, Ninyi Ndo Wakorofi
Rais John Magufuli amewataka mawaziri kuwa makini na kushirikian ana vyombo vyote kuhakikisha hata korosho moja haipotei.

Aidha, amewataka kufanya maamuzi bila kuamriwa na rais au Waziri Mkuu kwa lengo la kukuza maendeleo ya nchi.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo Jumatatu Novemba 12, Ikulu jijini Dar es Salaam wakati akiwaapisha mawaziri na naibu waziri aliowateua Jumamosi wiki iliyopita.

“Mawaziri muwe mnafanya maamuzi sio kila kitu Waziri Mkuu au rais wawasaidie kufanya na mimi ninapenda mawaziri wanaofanya maamuzi wenyewe.

“Mnasema mimi mkorofi lakini si kweli ninyi ndiyo wakorofi kwa kuwa hamfanyi yale wananchi wanayotaka mfanye.

“Ni lazima kila mmoja awajibike, mimi sitojali kubaki na mmoja mbona kila siku nabadilisha ni kitu cha kawaida na ninafanya hivyo ili nipate matokeo mazuri, kwanza wabunge wako 365 hata nikiwateua kwa miezi mitano mitano ni sawa tu,” amesema Magufuli.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad