AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo alikamatwa wiki iliyopitwa mjini Georgia na kurudishwa jela ikiwa kosa lake ni kwenda kinyume na masharti ya dhamana na kushindwa kuwasilisha vipimo vya afya wakati alipokuwa chini ya uangalizi (Probation).
Rapper Young Thug bado anakabiliwa na mashtaka mengine 8 ya jinai ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya pamoja na silaha mwezi September,2017, inaelezwa kuwa rapper huyo anahitajika kuhudhuria ushauri na saa juu ya matumizi ya dawa za kulevya na kuwasilisha vipimo vya dawa za kulevya Mahakamani kila baada ya wiki mbili.
“Samahani kwa kutoitii Mahakama , samahani kwa kutomtii Muendesha Mashataka na kuwepo hapa kwa mara nyingine tena, nataka kwenda nyumbani nikaonane na familia yangu na kufanya vitu vilivyosahihi”
Rapper Young Thug amejutia makosa yake mbele ya Mahakama na wakili wake kusema kuwa tayari amejiadhibu mwenyewe kwa kutokula chakula kwa siku mbili tokea ameingia jela wiki iliyopita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK