Ridhiwani Kikwete Awapa Makavu Yanga "Mnapofika Atua Hii ni Dalili Kuwa Hamjui Mnachokitaka"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ridhiwani Kikwete Awapa Makavu Yanga "Mnapofika Atua Hii ni Dalili Kuwa Hamjui Mnachokitaka"
Siku kadhaa zilizopita Baraza la Michezo la Taifa BMT, liliagiza shirikisho la mpira Tanzania TFF kuhakikisha Yanga SC wanafanya mkuu tano mkuu na uchaguzi wa kuchagua viongozi wapya wa club hiyo baada ya Mwenyekiti na makamu wake kujiondoa.

Mashabiki na wanachama wengi wa Yanga hawapendi Yussuf Manji aliyekuwa mwenyekiti wao aondoke katika klabu hiyo, hivyo walikuwa wanapinga suala la kujiuzulu kwa Manji na maagizo ya TFF kufanya uchaguzi Mkuu.



Mbunge wa Chalinze na shabiki mkubwa wa Yanga Ridhiwani Kikwete alitumia ukurasa wake wa instagram kuandika maneno mazito yenye lengo la kuihamasisha Yanga kutii agizo la TFF na BMT kufanya uchaguzi na kama wanamtaka Manji wanayo nafasi ya kumchukulia fomu.

“Mnapofika hatua kama hii ni Dalili kuwa Hamjui Mnachokitaka. Uchaguzi ni Utaratibu wa Kawaida. Mnayemtaka mnaweza kwenda mchukulia fomu. Hakuna Busara ya kushindana Ubavu na Wasimamizi wa Mpira TFF”>>>Ridhiwani Kikwete

“Twendeni tukafanye Uchaguzi. Tunasimamisha Maendeleo ya Timu yetu kwa Ushabiki Usio na Macho ya Kujua Kesho yetu ikoje. Mwisho tutakuja tafuta Mchawi,Wakati Wachawi ni Sisi Wenyewe. Tusiwape Kichwa wakatamba” >>>Ridhiwani Kikwete
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad