AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki na wanachama wengi wa Yanga hawapendi Yussuf Manji aliyekuwa mwenyekiti wao aondoke katika klabu hiyo, hivyo walikuwa wanapinga suala la kujiuzulu kwa Manji na maagizo ya TFF kufanya uchaguzi Mkuu.
Mbunge wa Chalinze na shabiki mkubwa wa Yanga Ridhiwani Kikwete alitumia ukurasa wake wa instagram kuandika maneno mazito yenye lengo la kuihamasisha Yanga kutii agizo la TFF na BMT kufanya uchaguzi na kama wanamtaka Manji wanayo nafasi ya kumchukulia fomu.
“Mnapofika hatua kama hii ni Dalili kuwa Hamjui Mnachokitaka. Uchaguzi ni Utaratibu wa Kawaida. Mnayemtaka mnaweza kwenda mchukulia fomu. Hakuna Busara ya kushindana Ubavu na Wasimamizi wa Mpira TFF”>>>Ridhiwani Kikwete
“Twendeni tukafanye Uchaguzi. Tunasimamisha Maendeleo ya Timu yetu kwa Ushabiki Usio na Macho ya Kujua Kesho yetu ikoje. Mwisho tutakuja tafuta Mchawi,Wakati Wachawi ni Sisi Wenyewe. Tusiwape Kichwa wakatamba” >>>Ridhiwani Kikwete
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK