AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
fb_img_1541511268309-jpeg.923932
Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga, ACP Alchelaus Mutalemwa, tukio hilo limetokea Novemba 5, 2018 majira ya saa 12 jioni katika Mtaa wa Miti Mirefu, Kata ya Mjini, Manispaa
ya Shinyanga.
Amesema chanzo cha tukio hilo ni ugomvi baina ya Shyrock na mkewe Bupe ambao walitengana hivi karibuni.
“Siku ya tukio Bupe alimpigia simu mme wake akiomba pesa za matumizi ya mtoto lakini katika kutoelewana walianza kujibizana na kusukumana ambapo Bupe akaanguka chini. Mme aliyekuwa amelewa akachukua jiwe na kumpiga mkewe kichwani akafariki dunia,” amesema Kamanda Mutalemwa akiongeza polisi inamshikilia mtuhumiwa na atafikishwa mahakamani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK