Aliyekuwa Mpenzi wa Diamond Lyn Nae Kufata nyendo za Hamisa Mobeto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada irene ambae ni video queen ambae pia aliwahi kupata umaarufu sana baada ya kusemekana kuwa amekuwa akitoka kimapenzi na mwanamuziki Diamond Platinumz amejikita rasmi katika maswala ya muziki huku akiachia wimbo wake mpya.

Wimbo guo unaokwenda kwa jina la chafu umeandikwa na msanii mwenzake marioo na kuwa directed na hanscana huku ikifanyika nchini Afrika ya Kusini.

 Mwanadada huyo anasema kuwa kwa sasa amemua kuijiingiza rasmi katika muziki na anaomba sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki zake, huku akisema kuwa ameshatambulika kisheria na BASATA hvyo hakuna haja ya mashabiki kuwa na wasiwasi na kazi zake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad