AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya mwanamuziki Afande sele kutangaza kuwa mtu yoyote anaevuta unga au kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya basi huyo ni shoga, msani Chid benz amefunguka na kumtaka msanii huyo kuomba radhi hadahrani kwa kauli yake hiyo.
Kauli hiyo ya Afande sele imemuuumiza sana msanii Chid benz kwa sababu hata yeye pia ni moja ya waathirika wa madawa ya kulevya hivyo amemtaka afande sele kwa kumpa masaa 19 tu na kujitokeza ksiha kuomba radhi mbele ya watu la sivyo atajua cha kumfanya.
Kauli hiyo ilitolewa na Afande sele alipokuwa stegini wikiend iliyopita katika tamasha la Wasafi festival lililofanyika huko Morogoro.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK