Azam FC Kuishusha Yanga Kibabe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Azam FC Kuishusha Yanga Kibabe
Baada ya Yanga kuwashusha kibabe Azam FC kileleni na kuendelea kujikita wakiwa na pointi 44 huku Azam wakiwa na pointi 40, uongozi wa Azam FC umesema unaitambua dawa itakayowasaidia kurejea kwenye nafasi ya kwanza.

Ofisa habari wa Azam FC, Jaffary Maganga amesema wanatambua ushindani uliopo ligi Kuu na ili kuweza kujiweka katika nafasi nzuri ni lazima wapate matokeo mazuri katika michezo yao.

"Kila baada ya kumaliza mchezo tunatambua kuna kazi mpya inakuja mbele yetu, kama ambavyo ipo kwa sasa, Yanga ni vinara nasi tunafuatia hivyo ili kuweza kurejea kwenye nafasi hiyo ni lazima tupate matokeo.

"Mchezo wetu ujao ni dhidi ya Mtibwa Sugar, tunawaheshimu wapinzani wetu na tutawafuata nyumbani kwao Morogoro, hesabu zetu ni kupata pointi tatu, wachezaji wameshaanza mazoezi ili kuweza kujijenga," alisema.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad