AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ofisa habari wa Azam FC, Jaffary Maganga amesema wanatambua ushindani uliopo ligi Kuu na ili kuweza kujiweka katika nafasi nzuri ni lazima wapate matokeo mazuri katika michezo yao.
"Kila baada ya kumaliza mchezo tunatambua kuna kazi mpya inakuja mbele yetu, kama ambavyo ipo kwa sasa, Yanga ni vinara nasi tunafuatia hivyo ili kuweza kurejea kwenye nafasi hiyo ni lazima tupate matokeo.
"Mchezo wetu ujao ni dhidi ya Mtibwa Sugar, tunawaheshimu wapinzani wetu na tutawafuata nyumbani kwao Morogoro, hesabu zetu ni kupata pointi tatu, wachezaji wameshaanza mazoezi ili kuweza kujijenga," alisema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK