CAF Wametangaza Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2018, Mbwana Samatta Je?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shirikisho la soka Afrika CAF leo limetangaza majina 34 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2018, majina hayo yametajwa lakini kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili mfululizo mtanzania Mbwana Samatta anayecheza club ya KRC Genk ya Ubelgiji, jina lake halipo.

Samatta ambaye ni mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa mwaka 2015 kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani ya Afrika, kwa miaka miwili iliyopita jina lake lilibahatika kuingia katika 30 bora ya wachezaji wanaowania tuzo hiyo, licha ya jina lake kuenguliwa katika hatua za awali.

FULL LIST YA WANAOWANIA TUZO ZA CAF 2018

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad