AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara ameeleza kuwa Chama anastahili kuchukua namba ya Andres Iniesta ambaye ameshaondoka Catalunya ili kuchukua nafasi yake akiamini kuwa ni bora.
Aidha, Manara amemtaja kuwa Chama ndiye kiungo bora kuwahi kutokea katika soka la Tanzania huku akimsifia zaidi akiamini hakuna kama yeye kwa sasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK