Haji Manala Awajia Juu Barcelona "Kwanini Mnafanya Roho Mbaya Pengo la Iniesta Litazibwa na Chama"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manala Awajia Juu Barcelona "Kwanini Mnafanya Roho Mbaya Pengo la Iniesta Litazibwa na Chama"
Kutokana na uwezi aliounesha kiungo fundi na mwenye balaa la aina yake, Clatous Chama katika mchezo wa jana dhidi ya Mbabane Swallows katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amesema mchezaji huyo anastahili kusajiliwa Barcelona.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara ameeleza kuwa Chama anastahili kuchukua namba ya Andres Iniesta ambaye ameshaondoka Catalunya ili kuchukua nafasi yake akiamini kuwa ni bora.

Aidha, Manara amemtaja kuwa Chama ndiye kiungo bora kuwahi kutokea katika soka la Tanzania huku akimsifia zaidi akiamini hakuna kama yeye kwa sasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad