AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Za Motomoto News, Sister Fay alisema tangu walipokamatwa na polisi na mumewe Holy Star mwezi wa tisa kutokana na kutumia mtandao vibaya kwa video zao tata, wamekuwa wakihenyeka na hawapo mtandaoni kutokana na simu waliyokuwa wanaitumia kushikiliwa polisi mpaka sasa.
“Tuliingia matatani kwa sababu ya video na picha tulizokuwa tunawekakwenye Mitandao na tukaamuriwa kuacha simu zetu pamoja na laini kule polisi huku tukipigwa marufuku kutumia mitandao mpaka tutakaporuhusiwa na TCRA kwa hiyo ndiyo maana tupo kimya,” alisema Sister Fay.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK