Mzazi Mwenzia Chales: Hajawahi Kutoa Matunzo ya Mtoto Mwanangu Namlea Mwenyewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzazi Mwenzia Chales: Hajawahi Kutoa Matunzo ya Mtoto Mwanangu Namlea Mwenyewe
Msanii wa Bongo muvi nchini Husna Sajent, amefunguka kuhusu mzazi mwenzie ambaye pia ni mwimbaji wa Muziki wa dansi Chalse Baba baada ya kufunga ndoa na Mwanamke mwingine hivi karibuni na kusema kuwa hajawahi kumpa matunzo ya mtoto.

Husna ameyasema hayo wakati akipiga stori na chombo kimoja cha habari na kusema kuwa mtoto wake anamlea mwenyewe kabla ya baba yake kuoa na hadi sasa.

"Matunzo mchezo!! mimi Mwanangu namlea mwenyewe anasoma Sunrise namlea kabla hajaoa na hadi sasa" alisema Sajent
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad