AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna jamaa yangu yupo kwenye ndoa kwa miaka saba na hajafanikiwa kupata mtoto..hivi karibuni analikuwa ananipigisha stori fulani hivi ambazo nilikuwa sizielewielewi kuhusu wanaume wengine kutumika kuwapa mimba wake za watu
Juzi amekuja kutoka Morogoro amekuja nyumbani kwangu Dar anasisitiza anataka nimsaidie kutafuta dawa ili mkewe apate ujauzito eti wamekubaliana na mkewe wanishirikishe mimi kwa sababu ni msiri na mstaarabu.
Ili mke wake apate ujauzito kumbuka mimi siyo daktari. Alivyoona nakuwa mkali akaniambia atanipigia simu akifika Morogoro ili tujadiliane vizuri.
Ameondoka leo asubuhi kimsingi mimi sijaoa na sijaona sababu ya kufanya ujinga huo. Wanajukwaa mimi msimamo wangu ni hapana.
Ushauri tafadhali
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK