Natamani Sana na Mimi Niwe na Mtoto Wangu Seema Ramani Azisomi- Amber Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Natamani Sana na Mimi Niwe na Mtoto Wangu Seema RAmani Azisomi- Amber Lulu
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amesema amekuwa akitamani na yeye aitwe mama kama ilivyo kwa wenzake lakini namna ya kumpata mtoto ndiyo anashindwa kujua kwani ‘ramani haisomeki’. 



Akizungumza na Risasi Jumamosi, Amber alisema kuwa iwapo atapata mwanaume wa kuishi naye ambaye hana longolongo, ataanzisha naye familia lakini kwa sasa maisha yake ya kimapenzi hayaelewielewi.



“Siyo kwamba sipendi watoto jamani lakini naona bado ramani haijasomeka kabisa maana siyo nazaa halafu hata ‘pampers’ ya kumvalisha mtoto nakosa, kitu hicho sikipendi kabisa, bado naangalia kwanza, kwani kuzaa sio fasheni,” alisema Amber Lulu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad