AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Risasi Jumamosi, Amber alisema kuwa iwapo atapata mwanaume wa kuishi naye ambaye hana longolongo, ataanzisha naye familia lakini kwa sasa maisha yake ya kimapenzi hayaelewielewi.
“Siyo kwamba sipendi watoto jamani lakini naona bado ramani haijasomeka kabisa maana siyo nazaa halafu hata ‘pampers’ ya kumvalisha mtoto nakosa, kitu hicho sikipendi kabisa, bado naangalia kwanza, kwani kuzaa sio fasheni,” alisema Amber Lulu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK