Nikki wa Pili Amvisha Pete ya Uchumba Mpenzi wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rapper Nikki wa Pili yupo mbioni kuuaga ukapera baada ya jana kumvisha pete mchumba wake wa muda mrefu. 

Shughuli hiyo inadaiwa kufanyika huko mkoani Arusha na kuhudhuriwa na Wasanii wenzake akiwemo Joh Makini, Dogo Janja, Lord Eyes. 


Baada ya shughuli hiyo fupi, rapa huyo aliandika “Queen, malkia, mwenye moyo wangu…….nuru ya uzuri wako imulike njia ya maisha yetu…..Nakupendaaaa sanaaaaaaaaa #sikuyetu ahadi ya kwanza nimetimiza. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad