AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Takriban tovuti 25 zinazoonyesha video hizo haziwezi kufunguka kwa sasa nchini humo kutokana na zuio hilo.
Mamlaka hizo zilifikia uamuzi wa kuzifungia baada ya kugundua kuwa tovuti hizo ni miongoni mwa tovuti 100 zinazotazamwa sana Afrika Mashariki.
Mwenyekiti wa Kamati ya kupambana na video za ngono nchini humo, Dr Annette Kezaabu amesema zuio hilo la tovuti kubwa za video za ngono limesaidia kushusha idadi ya watu wanaotazama kwa kipindi kifupi tangu lilipotangazwa.
"Mpaka sasa tunaendelea na mchakato wa kupitia majina mengine ya tovuti ambazo tutazifungia kutokana na video hizo. Tunafahamu kwamba watu watafungua tovuti zingine lakini huu ni mpango endelevu," amesema Dr Annette.
Zuio hilo nchini Uganda limekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani nchini Kenya kuiomba serikali ya nchi hiyo kufungia tovuti za video za ngono kwa lengo la kupunguza ongezeko la mimba za utotoni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK