AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Serikali wa Burundi imekuwa ikionyesha ukali dhidi jamii ya kimataifa," AFP imeunukuu Umoja wa Mataifa.
Burundi ilisusia mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki mwezi Novemba ambao ulilenga kuzungumzia mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.
Mwaka 2007 Burundi ilijitoa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai baada ya mahakama hiyo kuanzisha uchunguzi kuhusu dhuluma nchini humo.
Ghasia zilizuka chini humo mwaka 2015 wakati Rais Pierre Nkurunziza alitangaza kuwa angewania muhula wa tatu.
Mzozo huo wa kisiasa ulisababisha mamia ya watu kuuawa na zaidi ya 400,000 kukimbia nchi kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK