Shetta Afungua "Siwezi Kuongea na Diamond Labda Biashara tu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shetta ambae ni  mkurugenzi wa Kings Empire lakini pia meneja ya The Mafik amefunguka na kusema kuwa kwa hali ilivyo sasa kati yake na Diamond hawawezi kuongea kitu chochote zaidi ya biashara tu .

Akitoa sababu kwanini hawakuweza kuendeleza ushikaji kati yake na diamond ilihali walikuwa marafiki wakubwa na hata familia zao zilikuwa karibu sana na kufanikiwa kufanya kazi pamoja shetta ansema kuwa kamwe hawawezi kuwa marafiki tena labda mahusiano ya kibiashara tu.

Hakuna tatizo kati yetu ila sema tu ndo hivyo kwa sasa kila mtu yuko na mishe zake tu za kimasiha na hata kama tutaongea itakuwa ni mazungumzo ya kibiashara lakini sio ushikaji tena.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad