AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi sasa Simba ina michezo mitatu nyuma ya Yanga kutokana na kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Desemba 15 mwaka huu itacheza ugenini dhidi ya Nkana FC ya Zambia kabla ya kurudiana Desemba 21 Dar es Salaam.
Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amehoji kisa cha wapinzani wao kutocheza mechi ndani ya wiki mbili baada ya wao kurudi kufuatia kucheza mechi yao ya kimataifa.
"Yanga wakati tunacheza kombe la Shirikisho tuliporudi Kenya tulicheza baada ya siku mbili Shinyanga na baada ya hapo tukaenda Mbeya baada ya siku tatu tukaenda Rwanda," alisema.
Ofisa habari wa TFF, cLIFORD Ndimbo alisema kuwa mipango ya Ligi kuu itakwenda sawa kwa kuwa kila kitun nni mpangilio.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK