AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja huyo alidai wakati akianza kazi na Harmonize alikuwa ni kijana mstaarabu lakini kadri siku zilivyokuwa zikisonga, mwanamuziki huyo aliyekiri kuwa anajituma alianza kubadilika suala alilodai kuwa huenda ni kutokana na mafanikio aliyoyapata na kwamba hana kinyongo naye na wala nia ya kumchafua.
”Naelewa kwamba ni kijana mdogo ambaye ametoka katika familia masikini, lakini utajiri na umaarufu aliopata kutokana na mafanikio ya muziki wake umeathiri tabia yake.
Mashabiki katika mitandao ya kijamii, wameanza kumshambulia meneja huyo huku wakienda mbali zaidi kumtaka aeleza sababu zilizomfanya aondoke wa muimbaji huyo. Haya ni maoni ya mashabiki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK