Aunt EZEKIEL "Nawashangaa sana WANAOJADILI Paja Langu Sijui Wanachotaka ni KITU gani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mrembo Anty Ezekiel Katika Pozi


STAA mwenye mvuto Bongo Muvi, Aunt Ezekiel amefungukia ‘tatuu’ aliyoichora pajani kuwa anashangaa watu wanavyoijadili alichoraje kwani kwake ni kitu cha kawaida tu.

Akizungumza na Za Motomoto, Aunt alisema kwanza hiyo tatuu siyo halisi ameichora kwa piko ila watu wanavyomjadili amewezaji kufunua paja kuchora na wakati kuna watu wanaochora sehemu tofauti na za kushangaza.

“Nawashangaa sana wanaojadili paja langu sijui wanachotaka ni kitu gani, kwanza hapa nimejichora tu na piko lakini kingine wameona kujichora hivi kama kitu kisicho cha kawaida inashangaza kwa kweli waniache na maisha yangu,” alisema Aunt.

Stori: Imelda Mtema
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad