Diamond aibua jipya kuhusu video za wasanii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diamond aibua jipya kuhusu video za wasanii
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameeleza ni kwanini wasanii wake wengi kwa sasa hawaendi kutengeneza video za nyimbo zao nje ya nchi.

Ni baada ya hivi karibuni kuonekana video nyingi wanafanyia nchini ukilinganisha na hapo awali wapokuwa wakisafiri hadi Afrika Kusini.

"Hatukufata location bali vifaa na technology zao ila kwa sasa tumenunua wenyewe, na kufungua production yetu wenyewe," amesema Diamond.

Ameendelea kwa kueleza kuwa, 'Na ndio maana tuna uwezo wa kushuti popote, na ndio maana halisi ya mapinduzi ya burudani'.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad