AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Casian ambaye kwa sasa ni msanii wa injili anaumwa kwa kipindi cha miezi minane sasa akiuguza majeraha ya ajali .
Katika ajali hiyo nyota huyo alipasuka kibofu cha mkojo, hivyo kuhitaji kiasi cha Sh25 milioni kwa ajili kwenda kutibiwa India.
Katika mahojiano maalumu na gazeti la MWANANCHI, Rita anasema amevumilia vya kutosha kusikia lawama na shinikizo kutoka kwa watu mbalimbali wakitaka amsaidie matibabu Casian. “Watu wanadhani ni lazima nimsaidie, kisa alipita kwenye shindano la BSS. Kimsingi Casian hanidai, nilishamalizana naye miaka tisa iliyopita,” anasema Rita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK