Mahakama ya ICC Yamwachia Huru Rais wa Zamani wa Ivory Coast

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC), imemwachia huru Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo(73), baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yake

Gbagbo alifikishwa mbele ya Mahakama hiyo mwaka 2011 kutokana na vurugu za baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambao ulishuhudia akishindwa mbele ya mpinzani wake, Alassane -
Gbagbo alishtakiwa kwa madai ya kuhusika na vurugu zilizosababisha mauaji ya watu 3,000 huku wengine 500,000 wakiyakimbia makazi yao

Kwa mujibu wa rekodi za ICC, Gbagbo ni kiongozi mkuu wa kwanza wa nchi kufikishwa mbele ya Mahakama hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad