AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Afande Sele, ameshindwa kumkalia kimya beki mpya wa klabu ya Simba kutoka Ivory Coast anayeitwa Zana baada ya video inayomuonyesha akicheza mziki kusambaa mtandaoni.
Afande Sele kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika, "Yaani jitu linakwenda mpaka Afrika magharibi linatumia pesa kibao kisha linatuletea ushuzi huu pumbaff kabisa."
"Mo pamoja na mapesa yake lakini kama ataendelea kuwaamini na kuwatumia wale wapiga dili wanaojiita makomandoo uchwara katika kutafuta wachezaji basi ajue kuwa ipo siku tutaletewa hata wacheza baikoko na kibao kata wa burkinafaso kisha tuambiwe ni mastriker hatari."
"Alimalizia kwa kuandika, aliyelileta hili zigo pale Simba popote alipo ajifanye kama anajikuna maana kajua kutusukuma ndani daadek zake."
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK