AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chid anasema kuwa anafurahi kuoa msanii huo anataka kuoa lakini anaamini kuwa mwanamke mzuri kwa msanii mwenzake niyule ambae sio maarufu wala hatokaa kutangazwa sana katika mitandao ya kijamii kama ilivyokuwa kwa wasanii nwenzake kama Alikiba ambae hakuna aliyekuwa anajua nani anaolewa na msanii huyo.
safi na hongera yake , yule ni mtoto wa kiiislamu swafi anatakiwa kuoa, lakini simfahamu vizuri yule binti na sijawahi kukitana nae, ila natamani naseeb aoe mtoto mmoja ambae watu wengi watakuwa hawamjui.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK