Patrick PCK Afufuka Tena, Amsifia Mkewe na Kumponda Wema Sepetu Vibaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanaume aliyedaiwa kumtapeli Wema Sepetu baada ya kuingia nae katika mahusiano ya kimapenzi na kmdhalilisha sana kipindi cha nyuma.

Mwanaume huyo ambae aliweza kuvujisha picha na video za Wema wakiwa faragaha, pia aliweza kutokomea kusiko julikana na kumtishia sana wema kuwa kama ange muacha basi angefanya kitu kibaya zaidi.

PCK ni moja ya wanaume ambao waliweza kumuingiza wema katika matatuzo makubwa kutokana na kesi hiyo ya ukosefu wa maadili kusimamsiah mambo mengi wema aliyokuwa anatakiwa kufanya kwa wakati huo na kujikuta akishgughulikia kesi iliyotia familia na ndugu zake aibu.

Hata hivyo mwanaume huto pamoja na kwamba amekuwa akitafutwa kama inavyoripotiwa amekuwa akitokea katika mitandao ya kijamii bila kuwa na uthibitisho kama ndio yeye au ni mashabiki wake na kuanza kumtuka mwanadada wema sepetu.

Wikiendi hii aliweza kuandika haya katika ukurasa wake huku akimsifia mke wake na kumponda sana wema “

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad