Habari NJEMA Ben pol Akubalika Ukweni KENYA, Ndoa Yaanza Kunukia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii kutoka nchi Tanzania Ben pol ameamua kuthibitisha mahusinao yao baada ya kuamua kwenda ukweni kwa ajili ya kufanya utambulisho na mpeniz wake anaejulikana kama anerlisa huku nchini uganda,

Msanii huyo ambae aliingia katika mahusiano ya kimapezi na mwanamke huyo siku si nyingi zilizopita wameamua kuhararisha mahusiano hayo na kuamua kujitambulisha kwa wazazi hatua ambayo inaleta msukumo wa ndoa.

Ben pol atakuwa mwanamuziki wa kiume anaeongeza idadi ya wasanii wanaokwenda kuoa nje ya nchi na kuacha wasichana wa kitanzania.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad