PICHA: CAG Profesa Mussa Assad Kaitikia Wito na Yuko Kuhojiwa na Kamati ya Bunge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameitikia wito wa Spika wa Bunge Job Ndugai kumtaka afike kwenye Kamati ya Haki,Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge.

 Profesa Assad tayari yupo mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge muda huu kwaajili ya kuhojiwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad